Bakhili Noumaaaa...
Mambooo yalianzaaa hoviiii; Bakhili alikua anakula kababu yeye na mkewe. Akasema "natamani tungekua mimi na wewe tu saa hii". Mkewe akamwambia "mume wangu hembu angalia vzr hapa ni mimi na wewe tu kwani waona mtu mwengine!" Bakhili akamjibu "nilikua naongea na hizi kababu". Si wewe π